Staa wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema kuwa hatarajii kugombea wala kujiingiza kwenye siasa kwa sababu bado yupoyupo katika eneo hilo.
“Nimepata dili, nitakwenda China kwa ajili ya kufanya comedy (vichekesho), nimepata fursa lazima niitumie ipasavyo. Kuweka muvi zangu mtandaoni kumenisaidia sana hivyo kwenye mambo ya siasa bado niponipo sana,” alisema Nisha.