Showing posts with label nationalnews. Show all posts

PAKA WATATU WATINGA OFISINI KWA KAMANDA WA POLISI KIKOSI CHA KUZUIA NA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA!!!! PAKA WATATU WATINGA OFISINI KWA KAMANDA WA POLISI KIKOSI CHA KUZUIA NA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA!!!!

Paka watatu wenye macho mekundu walimshangaza Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfre...

Maajabu: Mti Uliodondoka Miaka Mitatu Iliyopita Wainuka na Kusimama Wima Kama Zamani huko Tabora Maajabu: Mti Uliodondoka Miaka Mitatu Iliyopita Wainuka na Kusimama Wima Kama Zamani huko Tabora

Wananchi wa kijiji cha Mfuto katika Kata ya Ufulumo huko Wilayani Uyui, Tabora wamepatwa na mshituko na kuingiwa na hofu baada ya mti ain...

Mwanamke Amchana Mwanaye kwa Wembe aweze kujisaidia…Mtoto huyo alizaliwa bila kuwa na sehemu ya haja kubwa Mwanamke Amchana Mwanaye kwa Wembe aweze kujisaidia…Mtoto huyo alizaliwa bila kuwa na sehemu ya haja kubwa

Mkazi wa Kata ya Kitangiri katika Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, Anastazia Ngilitu, amemchana kwa wembe mtoto wake mwenye umri wa miezi mi...

Origino Komedi wamwagwa na MENEJA wao Origino Komedi wamwagwa na MENEJA wao

KUNDI maarufu la vichekesho ambalo kwa sasa ni kama halipo, limepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa meneja wao, mtangazaji nyota wa zaman...

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yaahidi Kulipa Fedha za Mafunzo kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu yaahidi Kulipa Fedha za Mafunzo kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu

         BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HESLB), imesema mwishoni mwa wiki hii, itakuwa imelipa fedha za mafunzo kwa ...

KUMENUKA ST.JOSEPH ARUSHA. MKONG'OTO WA TEMBEA!!!!!!!! KUMENUKA ST.JOSEPH ARUSHA. MKONG'OTO WA TEMBEA!!!!!!!!

POLISI wametumia nguvu kuwatawanya wanafunzi Chuo Kikuu cha St. Joseph mjini hapa, waliofunga barabara ya kutokea Arusha kwenda Singinda...

AKATWA KICHWA NA KAKA YAKE KISA MALI!!!!!!!!!! SOMA KISA KAMILI AKATWA KICHWA NA KAKA YAKE KISA MALI!!!!!!!!!! SOMA KISA KAMILI

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamng’ang’ania mfanyabiashara maarufu wa Wilaya ya Mvomero, Johnson Damian Mkude (39) akituhumiwa kumka...

MAULID KITENGE AACHA KAZI RADIO ONE NA KUJIUNGA NA EFM MAULID KITENGE AACHA KAZI RADIO ONE NA KUJIUNGA NA EFM

Mtangazaji mkongwe wa michezo kwenye kituo cha redio cha Radio One Stereo, Maulid Kitenge ameacha kazi na kwenye kituo hicho na kujiunga n...

HUU NDIO USHAHIDI WA UGONJWA WA EBOLA KUINGIA NCHINI TANZANIA HUU HAPA. HUU NDIO USHAHIDI WA UGONJWA WA EBOLA KUINGIA NCHINI TANZANIA HUU HAPA.

  Dar es Salaam. Hofu ya ugonjwa wa ebola imeingia jijini Dar es Salam baada ya msichana anayedhaniwa kuwa na ugonjwa huo kutua nchini akito...

ASAMEHEWA ADHABU YA KIFO KWA KUBADILI DINI!!!!!!!! ASAMEHEWA ADHABU YA KIFO KWA KUBADILI DINI!!!!!!!!

                                   Mwanamama raia wa Sudan aliyesamehewa adhabu ya kifo baada ya kubadili dini amesafirishwa hadi nchini  ...

HAYA MAAJABU .... KIJANA ANG'OLEWA MENO 232 HAYA MAAJABU .... KIJANA ANG'OLEWA MENO 232

                                       Madaktari nchini  India  wametumia saa 7 kufanikisha upasuaji wa kinywa cha kijana Ashik Gavai mwen...

WAALIM WAMPA NDIO MAKAMBA WAALIM WAMPA NDIO MAKAMBA

Dodoma.   Moto  wa uchaguzi mkuu umezidi kupamba baada ya mtandao wa walimu vijana nchini kujitokeza hadharani na kuahidi kumpigia kampen...

WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN WABURUZANA KORTINI KWA VURUGU WAUMINI 30 WA KANISA LA MORAVIAN WABURUZANA KORTINI KWA VURUGU

                         Hii ni safari ya kwenda kusomewa mashitaka yao.

DCI: Mabomu Arusha siyo Al-Shabaab DCI: Mabomu Arusha siyo Al-Shabaab

                                           Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa  ya  Jinai (DCI) wa Jeshi la Polisi nchini, Isaya Mngulu. Mk...

Mauaji kinyama ya wanawake yatikisa Mauaji kinyama ya wanawake yatikisa

                                                                     kamanda wa police mkoa wa lindi, Renatha Mzinga   Kundi la wananchi ...

Mbaroni kwa tuhuma za kulawiti watoto wa familia moja Mbaroni kwa tuhuma za kulawiti watoto wa familia moja

                                                                kamanada wa police mkoa wa kilimanjaro, Robert Boaz jeshi la polisi mkoani...

Warioba ataja sifa za rais 2015 Warioba ataja sifa za rais 2015

Dar es  Salaam .  Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba ametoa dira ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kutaja sifa za rais anay...

Dk Slaa: Sitosahau siku nilipopigwa mabomu na Polisi Dk Slaa: Sitosahau siku nilipopigwa mabomu na Polisi

Kushushwa juu ya   fuso  na mabomu kwenye kebini umebaki peke yako watu wote wamekimbia. Ndiyo wamekimbia...nimebaki na mlinzi wangu t...

January Makamba, Zitto waungana urais January Makamba, Zitto waungana urais

Dar es  Salaam .  Uamuzi wa mwanasiasa kijana, January Makamba wa kutaka kuwania urais, umezidi kukoleza mijadala ya kisiasa katika mi...

Serikali yatangaza nafasi za kazi 1,100 Serikali yatangaza nafasi za kazi 1,100

Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi 1,134 katika sekta mbalimbali z...